POST: KATIBU WA SHERIA MSAIDIZI DARAJA LA II - 20 POST

Posted 9 hours ago - By Sekretariat ya Ajira (PSRS) Utumishi - Over 1 Potential Applicants

POST: KATIBU WA SHERIA MSAIDIZI DARAJA LA II - 20 POST

EMPLOYER: Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS)

APPLICATION TIMELINE:: 2025-05-21 2025-06-01

JOB SUMMARY: NIL

DUTIES AND RESPONSIBILITIES:

  •     Kupokea nakala za kumbukumbu za Mahakama (Court Records) kuhusu kesi za Jinai, Rufani za kesi za Jinai, Kesi za jinai zinazohitajika kusahihishwa na Mahakama Kuu na kesi za madai
  •      Kupokea na kuhifadhi majalada ya polisi (Police case files) na nakala za hukumu za Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa
  •     Kuandika orodha ya kesi za kusikilizwa katika Mahakama za Wilaya, Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufani
  •    Kusambaza hati za Kisheria (Legal Documents) katika Mahakama za Wilaya na Mahakama Kuu
  •              Kutengeneza Fahirisi (Index) za Sheria za Tanzania
  • na vi.   Kuhifadhi majarida ya Sheria (Law Periodicals) na Sheria zilizorekebishwa, Miswada ya Taarifa za Kawaida za Serikali. vii.  Kufungua mafaili mapya ya kesi kama itakavyoelekezwa na msimamizi wake

QUALIFICATION AND EXPERIENCE:

Kuajiriwa Wahitimu wa kidato cha nne au sita wenye Stashahada ya Sheria (Diploma) kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

REMUNERATION: AGCS. 2

Apply Now

Apply Before: 31 May 2025
Apply Now