DEREVA DARAJA II - 1 POST

Posted 15 hours ago - By Jobs in Tanzania - Over 5 Potential Applicants

Halmashauri ya Wilaya ya Same

DUTIES AND RESPONSIBILITIES

1.Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;

2.Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;

3.Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;

4.Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali;

5.Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;

6.Kufanya usafi wa gari; na

7.Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Mwombaji awe na Cheti cha Kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja bila kusababisha ajali. Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya Ufundi Stadi (VETA) au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. 

APPLICATION TIMELINE: 2025-05-02 2025-05-11

APPLY NOW

Apply Before: 13 May 2025
Apply Now