Nafasi za Kazi AFCDC (Utumishi)

Posted 6 hours ago - By Ajira Mpya Tanzania - Over 2 Potential Applicants

Hili hapa tangazo la nafasi za kazi AFCDC (Utumishi) Watanzania wote wenye sifa na uzoefu mnaalikwa kuomba nafasi za kazi zilizotangazwa na Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (AFCDC).

Nafasi Zilizopo
Na.Nafasi ya KaziIdaraMuda wa AjiraMwisho wa Kutuma Maombi
1Afisa Mwandamizi wa Ufuatiliaji na Tathmini (P4)AFCDCMkataba wa muda maalum9 Juni, 2025
2Mtaalamu Mwandamizi wa Afya ya Umma na Ujenzi wa Uwezo (P3)AFCDCMkataba wa muda maalum27 Mei, 2025
3Afisa Fedha na Uendeshaji (P2)AFCDCMkataba wa muda maalum22 Mei, 2025
Jinsi ya kutuma maombi

Kwa maelezo zaidi kuhusu majukumu na vigezo vya kila nafasi, tembelea tovuti ya AFCDC hapa PDF hapa

  • Waombaji wote wanahimizwa kuwasilisha maombi yao kupitia tovuti hiyo maalum ya ajira ya AU.
  • Hakikisha unazingatia masharti yote yaliyowekwa kwa kila nafasi kama yalivyoelekezwa kwenye tangazo husika.
  • Nakala ya maombi yako itumwe pia kwa anuani hii:

Katibu Mkuu,

Ofisi ya Rais – Utumishi,

Mji wa Serikali – Mtumba,

Mtaa wa Utumishi,

S.L.P 670,

DODOMA.

dhrd.tc@utumishi.go.tz

SOMA ZAIDI:-

  1. Walioitwa kwenye Usaili Muhimbili (MUHAS)
  2. Walioitwa kwenye Usaili Wakala wa Vipimo (WMA)
  3. Nafasi za Kazi Ofisi ya Makamu wa Rais Tanzania
  4. Ajira Portal 2025: Uhuishaji wa Taarifa za Wasailiwa
Apply Before: 24 May 2025
Apply Now